Sunday, 26 March 2017

MBIO ZAMFANYA HARMORAPA KUPATA DILI NONO KWENYE KINYWAJI CHA SWALA

MSANII wa Bongo Fleva anayetrendi katika mitandao ya kijamii Bongo, ‘Hamorapa’ anatazamiwa kuwa balozi wa Kinywaji kiitwacho Swala.
Akizungumza na mwandishi wa mtandao huu, Hamorapa amefunguka kuwa yupo katika mazungumzo na kampuni inayozalisha kinywaji hicho na anatarajia kupata dili nono ya kukitangaza kinywaji hicho.

Share this

0 Comment to "MBIO ZAMFANYA HARMORAPA KUPATA DILI NONO KWENYE KINYWAJI CHA SWALA"

Post a Comment